KANISA KUJITOSHELEZA KUWA NA WATAALAMU WA NYANJA MBALIMBALI:
MNENAJI: MCH MARK WALWA MALEKANA.
Askofu
Mkuu wa kanisa la Waadventista Wa Sabato Jimbo kuu la Kusini mwa
Tanzani Mchunga Mark Warwa Malekana ametoa rai Kwa waumini wote Tanzania
Kufanya kazi Siku sita na siku ya saba Yaje kanisani kwa Ibada na
Mapumziko tena bila kusahau Zaka na Sadaka kama shukrani kwa Mungu
mpaji.
Mchungaji Marekana Amesema Sasa kanisa Tanzania na
Afrika limejitoshereza kwa kila Taaluma Kama wanahabari walio bobea
tunao, Wahasibu wenye CPA tunao, Wahandisi Tunao, Wanatheolojia Tunao
Shida ni Waamini wengi Ni udumavu wa Kiroho.
Mchungaji Marekana Amesema hayo hii leo wakati akiusalimu Mkutano wa TAiN Unao endelea Mjini Dodoma.
Wednesday, 8 June 2016
AINA ZA MAWASILIANO:
MNENAJI: MCH RICHARD KANIKI
Mkutano unaoendelea katika kanisa la Dodoma Sda na ikiwa ni siku ya tatu tangu kuanza rasmi kwa mkutano huu wa mawasiliano na habari. Leo ibada ya ufunguzi imeletwa na Mchungaji Kaniki ambaye alifafanua aina za mawasiliano ambazo.
NJIA ZA MAWASILIANO NI:
MNENAJI: MCH RICHARD KANIKI
Mkutano unaoendelea katika kanisa la Dodoma Sda na ikiwa ni siku ya tatu tangu kuanza rasmi kwa mkutano huu wa mawasiliano na habari. Leo ibada ya ufunguzi imeletwa na Mchungaji Kaniki ambaye alifafanua aina za mawasiliano ambazo.
NJIA ZA MAWASILIANO NI:
1. Maandishi
Hapa ni machapisho
mbalimbali ambapo alisisitiza kuwa njia ya maandishi ndio ilisaidia kuipeleka
injili mbele kwenye kipindi kama cha nabii
Mama White watu walitoa machapisho yake mbalimbaliambayo pia yalisaidia injili
kwenda mbele.
2. Mawasiliano kwa
njia ya mdomo
mwanzo 1:28-20
- Mawasiliano haya yanamuhm sana kwa wanandoa na kwa nyanja nyingine ya watumiaji wa mawasiliano.
1Petro3:7
3.Mawasiliano ya kimya
- Muonekano wa sura yake na vitendo vyake zinaashiria ujumbe au taarifa fulani juu jambo fulani.
Mwanzo 4:5-6
Dalili za mawasiliano ya mdomo
1. Usikilizaji
2 Mzungumzaji
3.Utawala wa mazungumzo.
mwanzo 1:28-20
- Mawasiliano haya yanamuhm sana kwa wanandoa na kwa nyanja nyingine ya watumiaji wa mawasiliano.
1Petro3:7
3.Mawasiliano ya kimya
- Muonekano wa sura yake na vitendo vyake zinaashiria ujumbe au taarifa fulani juu jambo fulani.
Mwanzo 4:5-6
Dalili za mawasiliano ya mdomo
1. Usikilizaji
2 Mzungumzaji
3.Utawala wa mazungumzo.
Tuesday, 7 June 2016
FUNDI MWINJILISTI:
MNENAJI: HAGGAI ABUTO
Mr. Haggai Abuto(aliye vaa Koti) ambaye ni Chief Information Officer wa EDC katika kipindi cha "FUNDI MUINJILISTI"
Amesisitiza kuwa hiki ni kipindi cha Millennia Hivyo Wazee na Vijana washirikiane katika magroup mbalimbali ya mitandao ya Kijamii ili kuleana na kuinjilisha habari njema za wokovu.
Mtafsiri ni Mr. Mazara Edward Matucha ambaye ni Mkurugenzi wa Mawasiliano wa SHC
MNENAJI: HAGGAI ABUTO
Mr. Haggai Abuto(aliye vaa Koti) ambaye ni Chief Information Officer wa EDC katika kipindi cha "FUNDI MUINJILISTI"
Amesisitiza kuwa hiki ni kipindi cha Millennia Hivyo Wazee na Vijana washirikiane katika magroup mbalimbali ya mitandao ya Kijamii ili kuleana na kuinjilisha habari njema za wokovu.
Mtafsiri ni Mr. Mazara Edward Matucha ambaye ni Mkurugenzi wa Mawasiliano wa SHC
MAADILI YA MWANA MAWASILIANO:
MNENAJI: MCH STEVEN BINA
Mchungaji Steven Bina, Mkurugenzi wa Mawasiliano Mstaafu - ECD Amefundisha Maadili 10 ya Mawasiliano kwa kanisani la waadventista wa Sabato. Amesema hayo hii leo katika mkutano wa TAiN Dodoma katika kipindi kilicho isha sasa hivi.
1. Hakikisha Kila unacho wasiliana kiwe kinamtukuza Mungu
2. Hakikisha Unatoa Ujumbe wa Upendo wa Matumaini wa Marejeo ya Yesu
3.Hakikisha unazingatia ethos (desturi) , beliefs(Imani) , na Values(mambo tunayo yadhamini)
4. Hakikisha uko tayari kushirikiana, kuunga Mkono vyombo vya habari, Ungamkono Ujumbe, heshimiana na wanahabari. Kwani huu ni wajibu wa Mwana Mawasiliano.
5 . Hakikisha una uhuru wa kuwasiliana kwa uadilifu, uwazi, ukiwa na kusudi, mwaminifu, makini, diversity and excellence.
6. Hakikisha unazingatia ukweli na Uaminifu.
7. Hakikisha nyumba zetu za Habari zielekeze juu ukweli unaotakiwa na kuhuisha wasikilizaji.
8. Kila mwana Mawasiliano ahakikishe anajiendeleza na kupanua uelewa wako.
9. Hakikisha Mawasiliano yako hayana mgongano wa masihara na upendeleo wakirafiki na kindugu.
10. Hakikisha shughuli zote za Mawasiliano zinazingatia Utambulisho wa kanisa.
MNENAJI: MCH STEVEN BINA
Mchungaji Steven Bina, Mkurugenzi wa Mawasiliano Mstaafu - ECD Amefundisha Maadili 10 ya Mawasiliano kwa kanisani la waadventista wa Sabato. Amesema hayo hii leo katika mkutano wa TAiN Dodoma katika kipindi kilicho isha sasa hivi.
1. Hakikisha Kila unacho wasiliana kiwe kinamtukuza Mungu
2. Hakikisha Unatoa Ujumbe wa Upendo wa Matumaini wa Marejeo ya Yesu
3.Hakikisha unazingatia ethos (desturi) , beliefs(Imani) , na Values(mambo tunayo yadhamini)
4. Hakikisha uko tayari kushirikiana, kuunga Mkono vyombo vya habari, Ungamkono Ujumbe, heshimiana na wanahabari. Kwani huu ni wajibu wa Mwana Mawasiliano.
5 . Hakikisha una uhuru wa kuwasiliana kwa uadilifu, uwazi, ukiwa na kusudi, mwaminifu, makini, diversity and excellence.
6. Hakikisha unazingatia ukweli na Uaminifu.
7. Hakikisha nyumba zetu za Habari zielekeze juu ukweli unaotakiwa na kuhuisha wasikilizaji.
8. Kila mwana Mawasiliano ahakikishe anajiendeleza na kupanua uelewa wako.
9. Hakikisha Mawasiliano yako hayana mgongano wa masihara na upendeleo wakirafiki na kindugu.
10. Hakikisha shughuli zote za Mawasiliano zinazingatia Utambulisho wa kanisa.
USALAMA WA MTANDAO:
MNENAJI: MCH MUSSA MIKA
ULINZI WA VITU VITATU:
1.Faragha-Kwamba inatumiwa na wale tu wenye idhini ya kuitumia.
2. Uadilifu-kulinda usahihi wake, ukamilifu wake, na michakato yako.
3. Upatikanaji wake - Kwamba wote wenye idhini ya kuipata wanaipata kwa ukamilifu wake.
Pastor Musa Mika ameeleza hasara zipatikananzo kwa kukiuka
ULINZI UKIKIUKWA:
1.Heshima au hadhi inaweza kupotea.
2. Hasara ya kifedha yaweza kutokea.
3. Kupoteza haki za Ubunifu.
4. Yawezekana kukabiliwa na hatua za kisheria.
5. Kupoteza wateja.
6. Kuingiliwa kibiashara
MNENAJI: MCH MUSSA MIKA
ULINZI WA VITU VITATU:
1.Faragha-Kwamba inatumiwa na wale tu wenye idhini ya kuitumia.
2. Uadilifu-kulinda usahihi wake, ukamilifu wake, na michakato yako.
3. Upatikanaji wake - Kwamba wote wenye idhini ya kuipata wanaipata kwa ukamilifu wake.
Pastor Musa Mika ameeleza hasara zipatikananzo kwa kukiuka
ULINZI UKIKIUKWA:
1.Heshima au hadhi inaweza kupotea.
2. Hasara ya kifedha yaweza kutokea.
3. Kupoteza haki za Ubunifu.
4. Yawezekana kukabiliwa na hatua za kisheria.
5. Kupoteza wateja.
6. Kuingiliwa kibiashara
HOTUBA YA ASUBUHI KATIKA MIKUTANO YA WANAMAWASILIANO: 07/06/2016
Mr. Atanus Sigoma Mhazini wa ECT akitoa Somo la asubuhi ya leo katika Mikutano ya TAiN inayo endelea hapa Dodoma .
Pamoja na mengi aliyo yasisitiza yafuatayo ni baadhi:
1. Huu ni wakati Wakwenda na Technology ili kwenda na kasi kubwa katika kuinjilisha Dunia.
2. Ulimwengu wa sasa Makarani wa Kanisa wanahitaji Kujua Kompyuta kwa matumizi ya utunzaji wa kumbukumbu za kanisa
3. Akionesha kuwa kuto endana na technology ni hasara akifafanua hili alisema Watu wengi wameshindwa kuendelea na Kazi au kupata kazi kwasababu ya kukosa ujuzi huu.
4. Akisisitiza swala la kwenda na technology alitahadharisha Waumini katika Matumizi sahihi ya technology nakwamba Mungu yuko juu ya technology kwani yeye ndiye Technology yenyewe.
5. Akisisitiza matumizi sahihi ya Mitandao alisema nimuhimu kujua Kuna mema na Mabaya hivyo tuchunge sana Macho yetu. Zaburi 119:37"Unigeuze Macho yangu nisitazame visivyofaa, Unihuishe katika njia yako."
Mr. Atanus Sigoma Mhazini wa ECT akitoa Somo la asubuhi ya leo katika Mikutano ya TAiN inayo endelea hapa Dodoma .
Pamoja na mengi aliyo yasisitiza yafuatayo ni baadhi:
1. Huu ni wakati Wakwenda na Technology ili kwenda na kasi kubwa katika kuinjilisha Dunia.
2. Ulimwengu wa sasa Makarani wa Kanisa wanahitaji Kujua Kompyuta kwa matumizi ya utunzaji wa kumbukumbu za kanisa
3. Akionesha kuwa kuto endana na technology ni hasara akifafanua hili alisema Watu wengi wameshindwa kuendelea na Kazi au kupata kazi kwasababu ya kukosa ujuzi huu.
4. Akisisitiza swala la kwenda na technology alitahadharisha Waumini katika Matumizi sahihi ya technology nakwamba Mungu yuko juu ya technology kwani yeye ndiye Technology yenyewe.
5. Akisisitiza matumizi sahihi ya Mitandao alisema nimuhimu kujua Kuna mema na Mabaya hivyo tuchunge sana Macho yetu. Zaburi 119:37"Unigeuze Macho yangu nisitazame visivyofaa, Unihuishe katika njia yako."
Monday, 6 June 2016
MKUTANO WA WANAMAWASILIANO TAiN -DODOMA:
UFUNGUZI: ANGELA KAIRUKI -Waziri ndiye ambaye amefungua Mkutano wa Wanamawasaliano Mjini Dodoma. 06/06/2016
Waziri huyu akijibu Ombi la kanisa la Waadventista Wa Sabato Tanzania juu ya Ombi la Kupewa siku Mbadala ya Usafi kwani Jumamosi ni siku ya ibada kwa Kanisa hili Waziri alisema Serikali itahakikisha uhuru wa kuabudu kwa madhehebu yote na lamuhimu katika siku hii ni usafi hivyo kwasababu jumamosi mko kanisani basi Waumini wahakikishe Jumamosi mazingira yao yote yanakuwa safi kabla ya sabato kama kawaida ya Waadventista WA sabato huandaa sabato mapema.
UFUNGUZI: ANGELA KAIRUKI -Waziri ndiye ambaye amefungua Mkutano wa Wanamawasaliano Mjini Dodoma. 06/06/2016
Waziri huyu akijibu Ombi la kanisa la Waadventista Wa Sabato Tanzania juu ya Ombi la Kupewa siku Mbadala ya Usafi kwani Jumamosi ni siku ya ibada kwa Kanisa hili Waziri alisema Serikali itahakikisha uhuru wa kuabudu kwa madhehebu yote na lamuhimu katika siku hii ni usafi hivyo kwasababu jumamosi mko kanisani basi Waumini wahakikishe Jumamosi mazingira yao yote yanakuwa safi kabla ya sabato kama kawaida ya Waadventista WA sabato huandaa sabato mapema.
Waziri ametoa Rai kwa Wana TAiN na Kanisa la Waadventista kwa ujumla
kuzingatia Maadili ya Matumizi sahihi ya mitandao mbalimbali ya habari
kulingana na Sheria ya mtandao na habari.
Mikutano hii iliyo anza jana tarehe 05/06/2016 itaendelea hadi jumamosi ya tarehe 11/06/2016.
Mikutano hii iliyo anza jana tarehe 05/06/2016 itaendelea hadi jumamosi ya tarehe 11/06/2016.
Subscribe to:
Posts (Atom)















