MUENDELEZO WA MIKUTANO INAYOFANYIKA NCHINI RWANDA:
Ni katika siku nyingine tena ni ule mwendelezo wa ile Mikutano mikubwa ya Neno la Mungu Nchini Rwanda.Neno la Mungu linazidi kuhubiriwa kwa kasi na watu wanazidi kubarikiwa sana.
Mch Dominic Mapima akiwa na Watafsiri katika moja ya Mikutano anayoiendesha.
Umati Mkubwa wa Watu ukiwa katika Mikutano ya Neno la Mungu.
Watu wa Mungu waliohudhuria moja ya Mikutano inayoendeshwa na Mch Dominic Mapima.
Makamanda wa Yesu wakiwa tayari kupambana na Shetani.
Ni Kwaya ambayo inazidi kubarikiwatu wa Mungu katika Mikutano hii.
Leo tena nikualike kuweza kuiombea sana Mikutano hii ili Neno la Mungu likatangazwe na watu waweze kufahamu ukuu wa Mungu kupitia watumishi wake.
TAiN is a part of GAiN,
GAiN is a community of Seventh-day
Adventist technologists and communicators who connect to discuss the
creative use of Internet technology in their work and in the lives of
those whom they serve.
GAiN was organized in 2004 by the
General Conference of Seventh-day Adventists. The community meets in an
annual forum, which is facilitated by the denomination’s Communication
Department in cooperation with the church’s world divisions and lay
initiatives.























































