BADO KAZI YA KUTANGAZA INJILI INAENDELEA RWANDA NA CONGO:
Mikutano hii ya Injili inayoendeshwa Nchini Rwanda na Congo imekuwa ikiwabariki sana watu wa Mungu kwa kuweza kulisikia Neno lake.
Mungu amekuwa akitenda miujiza ya pekee sana na amekuwa akizidi kuwa Nuru kwa watu wote.
Watu 30,000 wamebatizwa hadi sasa tangu kuwepo
kwa ushirikishwaji huu wa wanachama ambapo shughuli hii ya Mikutano mikubwa ya
Injili ilianza mwezi Mei. Mei 28 , 2016, Nchini Rwanda kutakuwa na Ubatizo
Mkubwa sana siku ya kuhitimisha ambayo itakuwa ni ya Sabato. Tunamshukuru Mungu
kwa nguvu zake za ajabu katika maisha ya watu wengi.
Mch TED WILSON akiwa katika picha ya pamoja na wazee wa Makanisa mbalimbali.
Watu waliojitoa kwa Kubatizwa wakijiweka tayari kwa tukio la Ubatizo
Eneo la kufanyia Ubatizo likiwa linaonekana katika madhari nzuri na yenye Utukufu.
Wabatizwa wakifanya kiapo juu ya kufuataNeno la Mungu kabla ya kubatizwa.
Ubatizo ukiwa umeanza na watu wakiendelea kubatizwa.
Ubatizo ukiendelea katika eneo la Ziwa KIVU.
Urafiki wa kweli na wa Kudumu daima.Kazi ya Mungu ndivyo inavyopaswa kufanywa.
Mke wa Mch TED WILSON yaani NANCY TED WILSON akihakikisha rafiki yake MARTHA ambaye ameamua kumpokea Yesu kwa njia ya kufanyiwa Ubatizo.
Wakati MARTHA akiwa anafanya ukubali wa kulishika agizo la Mungu kwa njia ya kiapo.
MARTHA ambaye ana Umri wa miaka 89 akiwa anasindikizwa kwenda kubatizwa.
Tayari MARTHA amebatizwa ni furaha kubwa Duniani na Mbinguni pia. Mungu atukuzwe.
Monday, 23 May 2016
NI MUENDELEZO WA ZIARA ZA MCH TED WILSON RWANDA,CONGO:
Ni ziara ya Kiongozi Mkubwa wa Kanisa la Waadventista Wasabato Duniani MCH TED WILSON akiwa anafanya ziara ya kiuinjilisti katika Nchi za Rwanda na Congo.
Mungu anazidi kumbariki pale anapowabariki watu wengine kupitia Neno la Mungu ambalo limekuwa likihubiriwa kila kona Ulimwenguni.
Kiongozi huyo Mkubwa ameambatana na Mke wake NANCY TED WILSON katika kuhakikisha Ulimwengu unapata mibaraka ya Neno la Mungu kwa kushirikiana kwa pamoja.
Akiwa Nchini CONGO yapo mambo kadha ambayo aliweza kuyafanya katika jamii.
Uwingi na Umati wa watu wapatao 6,000.
Ng'ombe walichangiwa na Waadventista Wasabatokutolewa kwa familia masikini kama sehemu ya wanachama kwa njia ya ushirikishwaji katika kufikia watu wengine waliopo n’je ya kanisa
Ni ziara ya Kiongozi Mkubwa wa Kanisa la Waadventista Wasabato Duniani MCH TED WILSON akiwa anafanya ziara ya kiuinjilisti katika Nchi za Rwanda na Congo.
Mungu anazidi kumbariki pale anapowabariki watu wengine kupitia Neno la Mungu ambalo limekuwa likihubiriwa kila kona Ulimwenguni.
Kiongozi huyo Mkubwa ameambatana na Mke wake NANCY TED WILSON katika kuhakikisha Ulimwengu unapata mibaraka ya Neno la Mungu kwa kushirikiana kwa pamoja.
Akiwa Nchini CONGO yapo mambo kadha ambayo aliweza kuyafanya katika jamii.
Uwingi na Umati wa watu wapatao 6,000.
Ng'ombe walichangiwa na Waadventista Wasabatokutolewa kwa familia masikini kama sehemu ya wanachama kwa njia ya ushirikishwaji katika kufikia watu wengine waliopo n’je ya kanisa
Katika kuzungumza na wale ambao walipata ng'ombe.
Gavana ni karibu na Nancy na Mchungaji Ruguri ni karibu na mkuu wa mkoa. Na
karibu yangu ni Meya wa Gisenyi
Pathfinders(Watafuta njia) wakiwajibika kwa kazi ya Mungu.
Tathmini ya wahariri wa habari , na wengine wakifurahia
tukio kuu ya kuchangia Ng'ombe kwa familia masikini . Ni moja ya kuhubiri
injili ya kwanza ya mfululizo katika Nchi ya Rwanda katika kanisa kubwa.Ni furaha kubwa na jinsi Mungu anavyotuongoza kwa maamuzi ya ubatizo.
Eneo zuri kwa ajili ya mchango wa Ng'ombe.
Mchungaji Blasious Ruguri , rais ECD, na gavana wa jimbo kama inavyoonekana
katika kijani ni upimaji mazingira yenye kupendeza.
Kuwasili katika tukio la huduma za kijamii Ng'ombe
walikuwa ni mchango tosha. Gavana wa jimbo akiwa anaelekea kuwakaribisha wageni
katika sherehe.
Kutembelea katika Ruhengeri na wainjilisti wageni
hii si ajabu. Jumla ya wanachama hushirikishwa kufanya injili ya uhamasishaji
katika Nchi ya Rwanda.
Mchungaji Bob Peck , msimamizi wa kanisa na rais
wa zamani Rwanda Union, alikuwa mratibu kundi hili la wainjilisti wageni . Kuhusu
wageni 100 huja kusaidia katika suala la kuhubiri Injili. Wengi zaidi ya 2,200
ya maeneo ya injili huendeshwa na
wachungaji wa Rwanda na kuweka watu . Tumsifu Mungu kwa ajili ya kumwagwa injili
na kuwafikia watu kama sisi na kuweza kutangaza haki ya Kristo, ujumbe Malaika
wake watatu.
Friday, 20 May 2016
MCHUNGAJI TED WILSON AFANYA ZIARA NCHINI CONGO AKITOKEA RWANDA:
Mchungaji TED WILSON amefanya ziara ya Utume wa kazi ya Mungu Nchini CONGO akitokea RWANDA ambapo napo alifanya kazi ya kuzindua Mikutano mikubwa ya Neo la Mungu.Na ambayo mpaka sasa inaendelea vizuri.
Ziara hii ya Nchini Congo imefana sana baada ya kupokelewa vizuri na wananchi wa Nchini CONGO.
Akiwa Nchini CONGO alikutana na watu mbalimbali wakiwemo waandishi wa Habari ambao aliweza kuzungumza nao juu ya kazi ya Kuupasha Ulimwenguu kuhusu Neno la Mungu.Aliwatia Moyo sana wazidi kuifanya kazi yao wakimtanguliza Mungu kwa kila jambo.
Tuzidi kuombeana katika safari hii ya kuelekea Mbinguni.
Mchungaji Ted Wilson amesimama pamoja viongozi wa kanisa NE Congo Union na viongozi wa serikari baada ya ibada ya asubuhi na huduma mbalimbali.
Msifu Mungu kwa Pathfinders na viongozi wao wa kujitolea.
Kiongozi Pathfinder baada ya kufanya hotuba . Mungu ametubariki kwa siku nzuri! Mapema asubuhi katika Gisenyi , ilikuwa mwanga wa mvua na mimi kwa bidii niliomba kwamba Mungu atawapa watu wake katika Goma siku nzuri. Mungu alijibu sala yangu! Ilikuwa ni siku kubwa! Na ahimidiwe Bwan.
Timu ya Hope Channel Africa kutoka Nairobi katika Mashariki -Central Africa ni baada ya mahojiano tuliyoyafanya katika Mji wa Gisenyi, Rwanda. Hope Channel inafanya kazi muhimu sana katika bara la Afrika
Akiwa amesimama na waandishi wa habari mjini Goma baada ya mahojiano na baadae aliomba kwa ajili yao. Ni muhimu kuomba kwa ajili ya wale walio katika vyombo vya habari ili kwamba Mungu aweze kuelekeza kazi yao, kuwapa hekima, na kuwalinda
Mchungaji TED WILSON amefanya ziara ya Utume wa kazi ya Mungu Nchini CONGO akitokea RWANDA ambapo napo alifanya kazi ya kuzindua Mikutano mikubwa ya Neo la Mungu.Na ambayo mpaka sasa inaendelea vizuri.
Ziara hii ya Nchini Congo imefana sana baada ya kupokelewa vizuri na wananchi wa Nchini CONGO.
Akiwa Nchini CONGO alikutana na watu mbalimbali wakiwemo waandishi wa Habari ambao aliweza kuzungumza nao juu ya kazi ya Kuupasha Ulimwenguu kuhusu Neno la Mungu.Aliwatia Moyo sana wazidi kuifanya kazi yao wakimtanguliza Mungu kwa kila jambo.
Tuzidi kuombeana katika safari hii ya kuelekea Mbinguni.
Mchungaji Ted Wilson amesimama pamoja viongozi wa kanisa NE Congo Union na viongozi wa serikari baada ya ibada ya asubuhi na huduma mbalimbali.
Msifu Mungu kwa Pathfinders na viongozi wao wa kujitolea.
Mahema maalum kwa
ajili ya waumini wengi wa Kanisa wamekusanyika kwa ajili ya mkutano wetu
Asubuhi ya leo ambapo mimi niliwatia moyo.
Kiongozi Pathfinder baada ya kufanya hotuba . Mungu ametubariki kwa siku nzuri! Mapema asubuhi katika Gisenyi , ilikuwa mwanga wa mvua na mimi kwa bidii niliomba kwamba Mungu atawapa watu wake katika Goma siku nzuri. Mungu alijibu sala yangu! Ilikuwa ni siku kubwa! Na ahimidiwe Bwan.
Timu ya Hope Channel Africa kutoka Nairobi katika Mashariki -Central Africa ni baada ya mahojiano tuliyoyafanya katika Mji wa Gisenyi, Rwanda. Hope Channel inafanya kazi muhimu sana katika bara la Afrika
Akiwa amesimama na waandishi wa habari mjini Goma baada ya mahojiano na baadae aliomba kwa ajili yao. Ni muhimu kuomba kwa ajili ya wale walio katika vyombo vya habari ili kwamba Mungu aweze kuelekeza kazi yao, kuwapa hekima, na kuwalinda
Dk Susana Tito na
Dk Valentin Omonte na watoto wao mapacha kutoka Bolivia ni madaktari wa meno
katika Mji wa Kigali Dental Clinic . Walikuwa wakisaidia kutoa Elimu ya afya na
uhamasishaji katika Mji wa Gisenyi, Rwanda.
Wednesday, 18 May 2016
KARIBU TENA KATIKA MUENDELEZO WA MATUKIO YANAYOENDELEA RWANDA:
Ni ile mikutano ya Neno la Mungu ambayo imeshika kasi kubwa sana na mwitikio wa watu wa Mungu ni mkubwa sana.Watumishi wa Mungu wanapambana kuhubiri Neno la Mungu ili watu waokolewe.
Mikutano hii inapoendelea kufanyika basi nikuombe ufanye mambo ambayo ni ya pekee sana.
1.Tenga muda wako kwa ajili ya kuiombea Mikutano hii.
2. Ombea watumishi wa Mungu ambao wanapambana katika kueneza Neno la Mungu.
3. Ombea Amani, Upendo, Umoja kwa watu wote.
4. Ombea kazi ya Mungu Ulimwenguni mwote.
Ni ile mikutano ya Neno la Mungu ambayo imeshika kasi kubwa sana na mwitikio wa watu wa Mungu ni mkubwa sana.Watumishi wa Mungu wanapambana kuhubiri Neno la Mungu ili watu waokolewe.
Mikutano hii inapoendelea kufanyika basi nikuombe ufanye mambo ambayo ni ya pekee sana.
1.Tenga muda wako kwa ajili ya kuiombea Mikutano hii.
2. Ombea watumishi wa Mungu ambao wanapambana katika kueneza Neno la Mungu.
3. Ombea Amani, Upendo, Umoja kwa watu wote.
4. Ombea kazi ya Mungu Ulimwenguni mwote.
Pathfinders ambao hutumika kama walinzi heshima. Kuna makundi mengi ya Pathfinders na
Master Guides ... Wao ni kujitolea na wenye vipaji ... Bwana asifiwe kwa
Pathfinders , vijana ambao kumtumikia Bwana kwa upendo na kujitoa kwake "Vijana wengi huwepo katika ushirikishwaji "
Katika mkutano
jana usiku , waheshimiwa ambao wana wageni huwaleta katika mikutano ya
injili ! Jana usiku katika tovuti yetu , Mungu alipata watu wengi zaidi waliokubali wito kwa ubatizo, Bila shaka ilivyokuwa katika maeneo mengi ya zaidi ya
2,200. Msifu Mungu kwa nguvu zake katika Neno lake!
Tuesday, 17 May 2016
MUENDELEZO WA MIKUTANO INAYOFANYIKA NCHINI RWANDA:
Ni katika siku nyingine tena ni ule mwendelezo wa ile Mikutano mikubwa ya Neno la Mungu Nchini Rwanda.Neno la Mungu linazidi kuhubiriwa kwa kasi na watu wanazidi kubarikiwa sana.
Mch Dominic Mapima akiwa na Watafsiri katika moja ya Mikutano anayoiendesha.
Umati Mkubwa wa Watu ukiwa katika Mikutano ya Neno la Mungu.
Watu wa Mungu waliohudhuria moja ya Mikutano inayoendeshwa na Mch Dominic Mapima.
Makamanda wa Yesu wakiwa tayari kupambana na Shetani.
Ni Kwaya ambayo inazidi kubarikiwatu wa Mungu katika Mikutano hii.
Leo tena nikualike kuweza kuiombea sana Mikutano hii ili Neno la Mungu likatangazwe na watu waweze kufahamu ukuu wa Mungu kupitia watumishi wake.
Ni katika siku nyingine tena ni ule mwendelezo wa ile Mikutano mikubwa ya Neno la Mungu Nchini Rwanda.Neno la Mungu linazidi kuhubiriwa kwa kasi na watu wanazidi kubarikiwa sana.
Mch Dominic Mapima akiwa na Watafsiri katika moja ya Mikutano anayoiendesha.
Umati Mkubwa wa Watu ukiwa katika Mikutano ya Neno la Mungu.
Watu wa Mungu waliohudhuria moja ya Mikutano inayoendeshwa na Mch Dominic Mapima.
Makamanda wa Yesu wakiwa tayari kupambana na Shetani.
Ni Kwaya ambayo inazidi kubarikiwatu wa Mungu katika Mikutano hii.
Leo tena nikualike kuweza kuiombea sana Mikutano hii ili Neno la Mungu likatangazwe na watu waweze kufahamu ukuu wa Mungu kupitia watumishi wake.
Sunday, 15 May 2016
Mchungaji Ted Wilson. Mwenyekiti wa Kanisa la Waadventista Wasabato Duniani.Mnamo Tarehe 13/05/2016 alifungua rasmi Mikutano ya Injili Zaidi ya 2300. Itakayo fanyika Nchini RWANDA.(RUANDA).
Mikutano hii imeanza Tarehe 13/05/2016 hadi Tarehe 28/05/2016.
Mahubiri haya ni ya Divisheni ya General Conference.Union yetu ya Kusini mwa TANZANIA inawakilishwa na watu 7 ambao ni Wachungaji.
1.Mch Mark Walwa Malekana
2.Mch Filbert Mwanga
3.Mch John Nyaibago
4.Mch David Mmbaga
5.Mch Michael Twakaniki.
6.Mch Meshark Jackson
7.Dominic Mapima
Tuzidi kuiombea sana Mikutano hii.
Mch Dominic Mapima wakati akianza safari ya kuelekea Rwanda .
Mch Dominic Mapima akiwa na Pr Eliya, mchungaji wa mtaa Rwamagana ninapo hudumu hapa tukisindikiza kidogo msafara kwa ualikaji.
Mch Dominic Mapima akiwa katika moja ya sehemu ya Mikutano hiyo.
Eneo moja wapo la Mikutano huko Rwanda.
Mch David Mmbaga akiwa anahubiri katika moja ya Mikutano (Rwanda)
Mikutano hii imeanza Tarehe 13/05/2016 hadi Tarehe 28/05/2016.
Mahubiri haya ni ya Divisheni ya General Conference.Union yetu ya Kusini mwa TANZANIA inawakilishwa na watu 7 ambao ni Wachungaji.
1.Mch Mark Walwa Malekana
2.Mch Filbert Mwanga
3.Mch John Nyaibago
4.Mch David Mmbaga
5.Mch Michael Twakaniki.
6.Mch Meshark Jackson
7.Dominic Mapima
Tuzidi kuiombea sana Mikutano hii.
Mch Dominic Mapima wakati akianza safari ya kuelekea Rwanda .
Mch Dominic Mapima akiwa na Pr Eliya, mchungaji wa mtaa Rwamagana ninapo hudumu hapa tukisindikiza kidogo msafara kwa ualikaji.
Mch Dominic Mapima akiwa katika moja ya sehemu ya Mikutano hiyo.
Eneo moja wapo la Mikutano huko Rwanda.
Mch David Mmbaga akiwa anahubiri katika moja ya Mikutano (Rwanda)
Subscribe to:
Posts (Atom)































































