Dr Blasious Ruguri:
Maelfu
 ya washiriki wa Kanisa la Waadventista Wa Sabato toka Nyanda za juu 
kusini mwa Tanzania waliojitokeza kumsikiliza Kiongozi wa Kanisa hilo 
katika ukanda wa Afrika Mashariki na Kati Dr Blasious Ruguri hapa 
ilikuwa ni Iganzo, Mbeya Agosti 3, mwaka huu, Kiongozi huyo jana aliweka
 jiwe la msingi katika kanisa la Waadventista Wa Sabato Kirumba na kesho
 anatarajiwa kuwa mkoani Geita kabla ya kuelekea huko Kigoma katika 
kuisimika Konferensi mpya ya Magharibi mwa Tanzania




 
 
 
0 comments:
Post a Comment