Dr. Blasious Ruguri yuko jijini 
Mbeya:
Kiongozi
 wa Kanisa la Waadventista Wa Sabato,Dr. Blasious Ruguri yuko jijini 
Mbeya kwa ziara ambapo atashiriki ufunguzi wa Jengo la Makao Makuu ya 
Konferensi ya Nyanda za Juu Kusini mwa Tanzania iliyoko Iganzo,Shule ya 
Sekondari ya Mbeya Adventist (MASS) iliyojengwa huko Forest,atatoa 
Semina kwa Viongozi wa Makanisa ambapo siku ya Sabato ya Agosti 2,mwaka 
huu washiriki wote wa makanisa ya Waadventista Wa Sabato jijini Mbeya na
 wajumbe toka makanisa mbalimbali ya Konferensi hii watasali Iganzo 
ambapo Dr Ruguri atahutubu.




 
 
 
0 comments:
Post a Comment