ILIKUWA NI SIKU YA PEKEE SANA KATI YA JACKSON TRAYPHONE MLYATU NA SARAH GEORGE AMBAO SASA WAMEKUWA MWILI MMOJA:
Tukio hili lilifanyika mnamo Tarehe 26/4/2015 katika kanisa la waadventista wasabato mbezi luis jijini Dar es salaam.
Tuesday, 28 April 2015
Wednesday, 1 April 2015
Monday, 9 March 2015
NI WANA WA KIKE WA KANISA LA WAADVENTISTA WASABATO--MBEZI LUIS:
Ilikuwa ni siku njema sana ya tarehe 7/3/2015 katika kanisa la waadventista wasabato mbezi luis jijini Dar es salaam.Takribani miaka kumi sasa ndio mwana wa kike wa kwanza kusimama kuhubiri wakati wa ibada kuu.Mungu atuongoze kwa kila jambo.
Mwenyekiti: Mama Mchungaji ANNA KYANZI
Kwaya ya wana wa kike wakiimba wakati wa ibada kuu
Dr HAPPY RANGE :Mhubiri
Ilikuwa ni siku njema sana ya tarehe 7/3/2015 katika kanisa la waadventista wasabato mbezi luis jijini Dar es salaam.Takribani miaka kumi sasa ndio mwana wa kike wa kwanza kusimama kuhubiri wakati wa ibada kuu.Mungu atuongoze kwa kila jambo.
Mwenyekiti: Mama Mchungaji ANNA KYANZI
Kwaya ya wana wa kike wakiimba wakati wa ibada kuu
Dr HAPPY RANGE :Mhubiri
Friday, 6 March 2015
Ilikuwa ni tarehe 28/2/2015 katika kanisa la waadventista wasabato Mbezi luis katika sabato ya watoto.Ilikuwa ni siku ya kuabudu na kusifu juu ya ukuu wa Mungu.
Tulianza hivi shule ya sabato ya watoto.
Kaka JOSEPH MADIWA akitupatia fungu la kukariri na ombi la kichungaji
Watoto wakiimba wimbo wa pili muda wa kipindi cha shule ya sabato.
Watoto wakiimba wimbo wa pili muda wa kipindi cha shule ya sabato.
Watoto wakiwa wanajifunza katika madarasa yao muda wa kipindi cha shule ya sabato.
Watoto wakiwa wanajifunza katika madarasa yao muda wa kipindi cha shule ya sabato.
Ibada kuu ilianza hivi siku hiyo.
Watoto wakiimba wakati wa ibada kuu ilipoanza.
Watoto wakiimba wakati wa ibada kuu ilipoanza.
Tulianza hivi shule ya sabato ya watoto.
Kaka JOSEPH MADIWA akitupatia fungu la kukariri na ombi la kichungaji
Watoto wakiimba wimbo wa pili muda wa kipindi cha shule ya sabato.
Watoto wakiimba wimbo wa pili muda wa kipindi cha shule ya sabato.
Watoto wakiwa wanajifunza katika madarasa yao muda wa kipindi cha shule ya sabato.
Ibada kuu ilianza hivi siku hiyo.
Watoto wakiimba wakati wa ibada kuu ilipoanza.
Watoto wakiimba wakati wa ibada kuu ilipoanza.
Wednesday, 18 February 2015
NI MAREHEMU MCH NICKANOR KIKIWA NA LEO TAREHE 18/2/2015 NDIPO WATU WA JIJINI DSM WALIWEZA KUUONA KWA MARA YA MWISHO MWILI WA MAREHEMU KATIKA KANISA LA WAADVENISTA WASABATO TEMEKE.
Huduma ya kuaga mwili wa Mch.Nikanor Kikiwa aliye fikwa na mauti Leo(tarehe 17/02/2015) saa 4:25 asubuhi katika hospitari ya Dar group iliyopo daresalaam. Ratiba zitakuwa kama ifuatavyo:-
1. Msiba Leo(17/02/201 upo Temeke SDA
2. Huduma ya kuona mwili pamoja na ibada kwa watu wa Dar itafanyika kesho(18/02/2015) saa 4:00 kamili asubuhi Temeke SDA Church-Itaendeshwa na Mwenyekiti wa Union ya kusini mwa Tanzania Mchungaji Magulilo Mwakalonge.
3. Baada ya huduma kuisha Temeke safari itaanza kuelekea Morogoro nyumbani kwa marehemu.
4. Huduma ya kuona mwili pamoja na ibada kwa watu wa morogoro itafanyika kesho kutwa (19/02/2015) saa 3:00 kamili asubuhi Misufini SDA Church-Itaendeshwa na Mwenyekiti wa Kenference ya mashariki na kati ya tanzania(ECT)Mchungaji Joseph Mngwabi.
Taarifa Hii imetolewa na Msemaji wa Familia. Mch. Haruni Kikiwa(Kaka wa Marehemu)-Mkurugenzi wa Mawasiliano na Afya-SHC
Huduma ya kuaga mwili wa Mch.Nikanor Kikiwa aliye fikwa na mauti Leo(tarehe 17/02/2015) saa 4:25 asubuhi katika hospitari ya Dar group iliyopo daresalaam. Ratiba zitakuwa kama ifuatavyo:-
1. Msiba Leo(17/02/201 upo Temeke SDA
2. Huduma ya kuona mwili pamoja na ibada kwa watu wa Dar itafanyika kesho(18/02/2015) saa 4:00 kamili asubuhi Temeke SDA Church-Itaendeshwa na Mwenyekiti wa Union ya kusini mwa Tanzania Mchungaji Magulilo Mwakalonge.
3. Baada ya huduma kuisha Temeke safari itaanza kuelekea Morogoro nyumbani kwa marehemu.
4. Huduma ya kuona mwili pamoja na ibada kwa watu wa morogoro itafanyika kesho kutwa (19/02/2015) saa 3:00 kamili asubuhi Misufini SDA Church-Itaendeshwa na Mwenyekiti wa Kenference ya mashariki na kati ya tanzania(ECT)Mchungaji Joseph Mngwabi.
Taarifa Hii imetolewa na Msemaji wa Familia. Mch. Haruni Kikiwa(Kaka wa Marehemu)-Mkurugenzi wa Mawasiliano na Afya-SHC
Subscribe to:
Posts (Atom)





























