WANAKWAYA WA KANISA LA WAADVENISTA WASABATO MBEZI LUIS WAKIMTUKUZA MUNGU KWENYE IBADA YA KUUTENGA MTAA WA KIBAMBA.
Sunday, 12 January 2014
Wednesday, 13 November 2013
"Mzee wa Kanisa Kiongozi na Msaidizi wa Mchungaji wa Mtaa wa Mbezi Luis Ndugu Ahad .S. Mnkeni akizungumza machache Katika Tamasha la Uimbaji lililofanyika Jumapili ya Tarehe 10/11/2013."
"Ndugu Ahad.S.Mnkeni akiwa anafuatilia kwa umakini yale yaliyokuwa yanajiri katika Tamasha hilo la Uimbaji.Pembeni yake mkono wa kushoto kwake ambapo ni kulia kwako ni Mgeni Rasmi Ndugu Angellar Kairuki Naibu Waziri wa Katiba na Sheria"
"Ndugu Ahad.S.Mnkeni akiwa anafuatilia kwa umakini yale yaliyokuwa yanajiri katika Tamasha hilo la Uimbaji.Pembeni yake mkono wa kushoto kwake ambapo ni kulia kwako ni Mgeni Rasmi Ndugu Angellar Kairuki Naibu Waziri wa Katiba na Sheria"
Subscribe to:
Posts (Atom)



