ILIVYOKUWA TAREHE 11/1/2014 KATIKA KANISA LA WAADVENTISTA WASABATO LUGURUNI AMBAPO MTAA WA KIBAMBA ULIOKUWA UNATENGWA KUTOKA MTAA WA MBEZI LUIS.NA HAPOHAPO WATENDAKAZI WA MWAKA 2014 WALIKUWA WANAWEKWA WAKFU KWA KAZI YA MUNGU.
JUMAMOSI
2:00 - 4:45 asubuhi - Sabbath School
4:45 asubuhi - 6:00 mchana - Main Sermon
8:00 mchana - 10:00 alasiri - Idara mbalimbali
10:00 alasiri - 12:00 jioni - Vipindi Mbali mbalimbali
12:00 jioni - 12:30 jioni - Kufunga Sabato
JUMATANO
11:00 jioni - 12:30 jioni - Maombi
IJUMAA
11:30 jioni - 12:30 jioni - Kufungua Sabato
0 comments:
Post a Comment