ILIVYOKUWA TAREHE 11/1/2014 KATIKA KANISA LA WAADVENTISTA WASABATO LUGURUNI AMBAPO MTAA WA KIBAMBA ULIOKUWA UNATENGWA KUTOKA MTAA WA MBEZI LUIS.NA HAPOHAPO WATENDAKAZI WA MWAKA 2014 WALIKUWA WANAWEKWA WAKFU KWA KAZI YA MUNGU.
 
JUMAMOSI
	2:00 - 4:45 asubuhi - Sabbath School
	4:45 asubuhi - 6:00 mchana - Main Sermon
	8:00 mchana - 10:00 alasiri - Idara mbalimbali
	10:00 alasiri - 12:00 jioni - Vipindi Mbali mbalimbali
	12:00 jioni - 12:30 jioni - Kufunga Sabato
	JUMATANO
	11:00 jioni - 12:30 jioni - Maombi
	IJUMAA
	11:30 jioni - 12:30 jioni - Kufungua Sabato
 



0 comments:
Post a Comment