Subscribe:

Monday, 2 February 2015

Ndivyo ilivyokuwa katika kuhitimisha Mkutano wa Neno la Mungu ambao ulichukua takribani wiki 3 katika viwanja vya ZONE jijini Dar es salaam ambapo Mchungaji Zackaria Mnzava toka Tunduma ndiye alikuwa mnenaji mkuu.Watu wa Mungu walibarikiwa sana.Hapo tuliweza kupata watu 37 ambao walikiri kuachana na mambo ya dunia na kuamua kumfuata Yesu.


  Viongozi wa Nyimbo za Kristo wakiimbisha kwenye Mkutano.

 Watu waliokuwa wameudhuria katika Mkutano wa Neno la Mungu.


 Kwaya ya UVUVIO ya vijana wakimtukuza Mungu kwa njia ya nyimbo

 Kwaya ya Uinjilisti Mbezi Luis wakimtukuza Mungu kwa njia ya Uimbaji

 Mchungaji MNZAVA akinena na watu wa Mungu katika Ibada kuu.

 Mchungaji MNZAVA akinena na watoto katika Ibada kuu.


 Watoto wakiwa na waalimu wao

 Watu waliojitoa kwa ajili ya Ubatizo.

 Watu waliojitoa kwa ajili ya Ubatizo wakila kiapo.

 Mzee wa Kanisa kiongozi BAHATI MASURULI akimkabidhi zawadi Mchungaji Mnzava

 Mzee wa Kanisa kiongozi BAHATI MASURULI akimkabidhi zawadi Mchungaji Mnzava

 Baada ya kupokea zawadi akawa na machache ya kuzungumza kwa watu wa Mungu.

 Maombi makubwa yalifanyika kuwaombea watu wa Mungu na kuhitimisha Mkutano mkubwa .




UNGANA NA MCHUNGAJI GEOFREY MMBWANA KATIKA "DHAWABU YA UADILIFU" MAHUBIRI YANAYORUSHWA NA MORNING STAR TV KATIKA KANISA LA WAADVENTISTA WASABATO USHINDI MIKOCHENI JIJINI DAR ES SALAAM.
VING'AMUZI VYA TING,DIGITEK,CONTINENTAL NDIVYO UNAWEZA KUPATA MORNING STAR TV.







YALIYOJIRI HAPO TAREHE 1/2/2015 KATIKA KUWEKWA WAKFU KANISA LA WAADVENTISTA WASABATO ILALA JIJINI DAR ES SALAAM AMBAPO TUKIO HILO LILIFANYWA NA MCHUNGAJI BLASIOUS RUGURI.















Friday, 9 January 2015

NI TUKIO LILILOFANYIKA JANA LA KUIGAWA KONFERENSI YA MASHARIKI MWA TANZANIA YA WAADVENTISTA WASABATO.





 

Tukio hilo ambalo lilikuwa ni kwa ajili ya kupanga konferensi mbili mpya litatanguliwa na kuvunjwa rasmi kwa konferensi ya mashariki ,zoezi lililo simamiwa na Katibu Mkuu wa Kanisa la Waadventista Wa Sabato Kanda ya Afrika Mashariki na Kati Dr Nathaniel Walemba. 
                                          ======================
Konferensi zilizopangwa ni Konferensi ya Kusini Mashariki mwa Tanzania (SEC) na Konferensi ya Mashariki na Kati mwa Tanzania (ECT). Akiongea na Morning Star Radio hii leo Katibu Mkuu wa ETC Mchungaji Sadock Butoke amesema konferensi hiyo ina makanisa 305 ambalo ni ongezeko la asilimia 26 ukilinganisha na miaka mitatu iliyopita,mitaa 81,makundi 373 na jumla ya washiriki 67,928 Mchungaji Butoke ameyataka makanisa mahalia yote kuwa na makundi kwa uchache kila kanisa liwe na makundi yasiyopungua matatu.
                                           ======================

Viongozi wa Kanisa la Waadventista wa Sabato kanda ya Afrika Mashariki na Kati baada ya kuvalishwa skafu picha nyingine ni mgeni Maalumu Dr. Brasiuos Ruguri akikagua gwaride la vijana kutoka Kanisa la Waadventista wa Sabato Tabata Kimanga.
WAFAHAMU VIONGOZI WA KONFERENCE MBILI MPYA:



Hatimaye Konferensi ya Mashariki  Kati mwa Tanzania katika kanisa la Waadventista Wa Sabato imepata viongozi wake ni hawa wafuatao;-

Mwenyekiti: Mchungaji Joseph Mngwabi
Katibu:Mchungaji Samwel Katengu
Mhazini:Athanas Sigoma
Mkurugenzi wa Huduma:Mchungaji Mshola
Vijana:Mchungaji Emmanul Sumwa
Elimu:Devota Shimbe
Afya na Familia:Dr.Josia Tayari
Mawasiliano:Mchungaji Christopher Ungani

Wafutao ni viongozi wa Konferensi mpya ya Kusini Mashariki mwa Tanzania katika kanisa la Waadventista Wa Sabato ambao ni;-

Mwenyekiti: Mch. Mark Walwa Malekana
Katibu:Hebert Nziku
Mhazini:Yusuph Zege
Mkurugenzi wa Huduma:Mch Toto Kusaga
Vijana:Wilfred Mafwimbo
Elimu na Mawasiliano:Abrahamu Youze
Afya na Familia:Mwaibasa Whatson
Huduma za wanawake:Bernais Luuha

Tuesday, 30 December 2014

 MKUTANO WA VIJANA BARATONI UMEKWISHA...

Zifuatazo ni picha za siku maalum vijana hawa wakiimba wimbo wa Mkutano ukiwa na Moto "TURNING CITIES UPSIDE DOWN"














Wednesday, 24 December 2014

MKUTANO WA VIJANA WA BARATON-KENYA UMEANZA RASMI HAPO JANA NA LEO IKIWA NI SIKU YA PILI