WANA MKUTANO WA TAiN-DODOMA WAKIWA KATIKA ZIARA YA BUNGENI:
Wana TAiN Wakiwa Nje ya Ukumbi wa Bunge hii Leo Baada yakusikiliza Mjadala wa Wizara ya Fedha Uliyo kuwa ukiendelea. 
 Mikutano Ya TAiN iliyo anza tarehe 05/06/2016 inategemea kuisha kesho 
na hatimaye Jumapili watu watakuwa wakitawanyika kuelekea Pande Nne za 
Nchi ya Tanzania.
 Endelea kutuombea sana..
 








 
 
 
0 comments:
Post a Comment