JE, UNAVIFAHAMU VITU ALIVYOVITUMIA NABII MAMA ELLEN G WHITE?
 Hivi
 ni baadhi ya vifaa alivyotumia mama Ellen G. White, mwanamke 
anayeaminiwa na kanisa la waadventista wasabato kama nabii wa 
Mungu...vifaa vilivyobaki kama makumbusho katika nyumba aliyopata kuishi
 huko nchini Marekani.
Endelea kufuatana nasi ili ujifunze kitu. 
Kibao kinachoonesha nyumba aliyoishi Mama Ellen na Mume wake James White mwaka 1856-1863 Nyumba waliyoishi wawili hao
Kitanda alichokuwa analalia Enzi za Uhai wake.
Meza na Kiti alichokuwa akitumia wakati akiandika Njozi mbalimbali alizokuwa akipokea
Kalamu na Taa aliyokuwa akitumia kuandika.
Meza na Taa yake









 
 
 
0 comments:
Post a Comment