PTA jijini Dar e salaam sasa kutoka kulia ni Mkurugeni wa Mawasiliano wa Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati,Mch Steven Bina,Makamu Mwenyekiti wa GC,Mch Geofrey MbwanaKandus Thorp na Brad Thorp toka Hope Channel,Gidion Mtero toka Hope Channel,Makamu Mwenyekiti wa GCBenjamin D Schoun na Mwenyekiti wa ECD Mch Blasius Ruguri
 Mkurugenzi wa Kituo cha televisheni cha Kanisa
 la Waadventista Wa Sabato Duniani cha Hope Channel,Brad Thorp akitoa 
maelezo kwa Mkurugenzi wa vyombo vya habari wa Kanisa hilo nchini 
Tanzania, Mch Mussa Mika na Mtangazaji Maduhu hii leo Morning Star Radio



 
 
 
 
 
0 comments:
Post a Comment