YALIYOJIRI HAPO TAREHE 1/2/2015 KATIKA KUWEKWA WAKFU KANISA LA WAADVENTISTA WASABATO ILALA JIJINI DAR ES SALAAM AMBAPO TUKIO HILO LILIFANYWA NA MCHUNGAJI BLASIOUS RUGURI.
Monday, 2 February 2015
Friday, 9 January 2015
NI TUKIO LILILOFANYIKA JANA LA KUIGAWA KONFERENSI YA MASHARIKI MWA TANZANIA YA WAADVENTISTA WASABATO.
Tukio hilo ambalo lilikuwa ni kwa ajili ya kupanga konferensi mbili mpya litatanguliwa na kuvunjwa rasmi kwa konferensi ya mashariki ,zoezi lililo simamiwa na Katibu Mkuu wa Kanisa la Waadventista Wa Sabato Kanda ya Afrika Mashariki na Kati Dr Nathaniel Walemba.
======================
Konferensi zilizopangwa ni Konferensi ya Kusini Mashariki mwa Tanzania (SEC) na Konferensi ya Mashariki na Kati mwa Tanzania (ECT). Akiongea na Morning Star Radio hii leo Katibu Mkuu wa ETC Mchungaji Sadock Butoke amesema konferensi hiyo ina makanisa 305 ambalo ni ongezeko la asilimia 26 ukilinganisha na miaka mitatu iliyopita,mitaa 81,makundi 373 na jumla ya washiriki 67,928 Mchungaji Butoke ameyataka makanisa mahalia yote kuwa na makundi kwa uchache kila kanisa liwe na makundi yasiyopungua matatu.
======================
Tukio hilo ambalo lilikuwa ni kwa ajili ya kupanga konferensi mbili mpya litatanguliwa na kuvunjwa rasmi kwa konferensi ya mashariki ,zoezi lililo simamiwa na Katibu Mkuu wa Kanisa la Waadventista Wa Sabato Kanda ya Afrika Mashariki na Kati Dr Nathaniel Walemba.
======================
Konferensi zilizopangwa ni Konferensi ya Kusini Mashariki mwa Tanzania (SEC) na Konferensi ya Mashariki na Kati mwa Tanzania (ECT). Akiongea na Morning Star Radio hii leo Katibu Mkuu wa ETC Mchungaji Sadock Butoke amesema konferensi hiyo ina makanisa 305 ambalo ni ongezeko la asilimia 26 ukilinganisha na miaka mitatu iliyopita,mitaa 81,makundi 373 na jumla ya washiriki 67,928 Mchungaji Butoke ameyataka makanisa mahalia yote kuwa na makundi kwa uchache kila kanisa liwe na makundi yasiyopungua matatu.
======================
Viongozi wa Kanisa la Waadventista wa Sabato kanda ya Afrika Mashariki
na Kati baada ya kuvalishwa skafu picha nyingine ni mgeni Maalumu Dr.
Brasiuos Ruguri akikagua gwaride la vijana kutoka Kanisa la Waadventista
wa Sabato Tabata Kimanga.
WAFAHAMU VIONGOZI WA KONFERENCE MBILI MPYA:
Hatimaye Konferensi ya Mashariki Kati mwa Tanzania katika kanisa la Waadventista Wa Sabato imepata viongozi wake ni hawa wafuatao;-
Mwenyekiti: Mchungaji Joseph Mngwabi
Katibu:Mchungaji Samwel Katengu
Mhazini:Athanas Sigoma
Mkurugenzi wa Huduma:Mchungaji Mshola
Vijana:Mchungaji Emmanul Sumwa
Elimu:Devota Shimbe
Afya na Familia:Dr.Josia Tayari
Mawasiliano:Mchungaji Christopher Ungani
Wafutao ni viongozi wa Konferensi mpya ya Kusini Mashariki mwa Tanzania katika kanisa la Waadventista Wa Sabato ambao ni;-
Mwenyekiti: Mch. Mark Walwa Malekana
Katibu:Hebert Nziku
Mhazini:Yusuph Zege
Mkurugenzi wa Huduma:Mch Toto Kusaga
Vijana:Wilfred Mafwimbo
Elimu na Mawasiliano:Abrahamu Youze
Afya na Familia:Mwaibasa Whatson
Huduma za wanawake:Bernais Luuha
Hatimaye Konferensi ya Mashariki Kati mwa Tanzania katika kanisa la Waadventista Wa Sabato imepata viongozi wake ni hawa wafuatao;-
Mwenyekiti: Mchungaji Joseph Mngwabi
Katibu:Mchungaji Samwel Katengu
Mhazini:Athanas Sigoma
Mkurugenzi wa Huduma:Mchungaji Mshola
Vijana:Mchungaji Emmanul Sumwa
Elimu:Devota Shimbe
Afya na Familia:Dr.Josia Tayari
Mawasiliano:Mchungaji Christopher Ungani
Wafutao ni viongozi wa Konferensi mpya ya Kusini Mashariki mwa Tanzania katika kanisa la Waadventista Wa Sabato ambao ni;-
Mwenyekiti: Mch. Mark Walwa Malekana
Katibu:Hebert Nziku
Mhazini:Yusuph Zege
Mkurugenzi wa Huduma:Mch Toto Kusaga
Vijana:Wilfred Mafwimbo
Elimu na Mawasiliano:Abrahamu Youze
Afya na Familia:Mwaibasa Whatson
Huduma za wanawake:Bernais Luuha
Tuesday, 30 December 2014
Monday, 3 November 2014
YALIYOKUWA YAMEJIRI KATIKA SABATO YA WAGENI MBEZI LUIS S.D.A CHURCH:
Tunamshukuru Mungu kwa uweza wake wa pekee kwa kuweza kuhitimisha siku hii ya wageni ambayo ilifuatiwa na Effort ya Nyumba kwa Nyumba takribani wiki 2 na kuweza kuhitimishwa kwa siku hii ya SABATO ya WAGENI tarehe 1/11/2014.
Bwana awabariki wote walioweza kufanikisha shughuli hii.
Tayari kwa IBADA KUU ndani ya Kanisa la Waadventista wasabato Mbezi Luis.
Kijana wa Mungu Chediel Rusanyu akiwa anatoa Neno wakati wa Ibada
Mwinjilisti Zephania akinena na watumishi wa Mungu katika Ibada kuu.
Washiriki wakiwa katika Ibada ndani ya Kanisa.
Watoto nao hawakukosa katika tukio hili la Sabato ya Wageni huku wakimsifu Mungu.
Kwaya ya Uinjilisti Mbezi Luis wakiwa wanatoa huduma ya Nyimbo wakati wa Ibada kuu.
Watu waliokuwa wamejitoa tayari kwa Ubatizo wakati wa mahubiri.
Watumishi wa Mungu wakiwa wanajipanga kufanya jambo fulani.
Hafla ilifana huku washiriki wakilishwa KEKI na kiongozi wa Shule ya Sabato Bi Grace Mgeni.
Ni wawakilishi wa WAGENI walioweza kuwawakilisha wenzao katika tukio la kukata KEKI.
Tunamshukuru Mungu kwa uweza wake wa pekee kwa kuweza kuhitimisha siku hii ya wageni ambayo ilifuatiwa na Effort ya Nyumba kwa Nyumba takribani wiki 2 na kuweza kuhitimishwa kwa siku hii ya SABATO ya WAGENI tarehe 1/11/2014.
Bwana awabariki wote walioweza kufanikisha shughuli hii.
Tayari kwa IBADA KUU ndani ya Kanisa la Waadventista wasabato Mbezi Luis.
Kijana wa Mungu Chediel Rusanyu akiwa anatoa Neno wakati wa Ibada
Mwinjilisti Zephania akinena na watumishi wa Mungu katika Ibada kuu.
Washiriki wakiwa katika Ibada ndani ya Kanisa.
Watoto nao hawakukosa katika tukio hili la Sabato ya Wageni huku wakimsifu Mungu.
Kwaya ya Uinjilisti Mbezi Luis wakiwa wanatoa huduma ya Nyimbo wakati wa Ibada kuu.
Watu waliokuwa wamejitoa tayari kwa Ubatizo wakati wa mahubiri.
Watumishi wa Mungu wakiwa wanajipanga kufanya jambo fulani.
Hafla ilifana huku washiriki wakilishwa KEKI na kiongozi wa Shule ya Sabato Bi Grace Mgeni.
Ni wawakilishi wa WAGENI walioweza kuwawakilisha wenzao katika tukio la kukata KEKI.
Subscribe to:
Posts (Atom)































