MKUTANO WA VIJANA BARATONI UMEKWISHA...
Zifuatazo ni picha za siku maalum vijana hawa wakiimba wimbo wa Mkutano ukiwa na Moto "TURNING CITIES UPSIDE DOWN"
Tuesday, 30 December 2014
Monday, 3 November 2014
YALIYOKUWA YAMEJIRI KATIKA SABATO YA WAGENI MBEZI LUIS S.D.A CHURCH:
Tunamshukuru Mungu kwa uweza wake wa pekee kwa kuweza kuhitimisha siku hii ya wageni ambayo ilifuatiwa na Effort ya Nyumba kwa Nyumba takribani wiki 2 na kuweza kuhitimishwa kwa siku hii ya SABATO ya WAGENI tarehe 1/11/2014.
Bwana awabariki wote walioweza kufanikisha shughuli hii.
Tayari kwa IBADA KUU ndani ya Kanisa la Waadventista wasabato Mbezi Luis.
Kijana wa Mungu Chediel Rusanyu akiwa anatoa Neno wakati wa Ibada
Mwinjilisti Zephania akinena na watumishi wa Mungu katika Ibada kuu.
Washiriki wakiwa katika Ibada ndani ya Kanisa.
Watoto nao hawakukosa katika tukio hili la Sabato ya Wageni huku wakimsifu Mungu.
Kwaya ya Uinjilisti Mbezi Luis wakiwa wanatoa huduma ya Nyimbo wakati wa Ibada kuu.
Watu waliokuwa wamejitoa tayari kwa Ubatizo wakati wa mahubiri.
Watumishi wa Mungu wakiwa wanajipanga kufanya jambo fulani.
Hafla ilifana huku washiriki wakilishwa KEKI na kiongozi wa Shule ya Sabato Bi Grace Mgeni.
Ni wawakilishi wa WAGENI walioweza kuwawakilisha wenzao katika tukio la kukata KEKI.
Tunamshukuru Mungu kwa uweza wake wa pekee kwa kuweza kuhitimisha siku hii ya wageni ambayo ilifuatiwa na Effort ya Nyumba kwa Nyumba takribani wiki 2 na kuweza kuhitimishwa kwa siku hii ya SABATO ya WAGENI tarehe 1/11/2014.
Bwana awabariki wote walioweza kufanikisha shughuli hii.
Tayari kwa IBADA KUU ndani ya Kanisa la Waadventista wasabato Mbezi Luis.
Kijana wa Mungu Chediel Rusanyu akiwa anatoa Neno wakati wa Ibada
Mwinjilisti Zephania akinena na watumishi wa Mungu katika Ibada kuu.
Washiriki wakiwa katika Ibada ndani ya Kanisa.
Watoto nao hawakukosa katika tukio hili la Sabato ya Wageni huku wakimsifu Mungu.
Kwaya ya Uinjilisti Mbezi Luis wakiwa wanatoa huduma ya Nyimbo wakati wa Ibada kuu.
Watu waliokuwa wamejitoa tayari kwa Ubatizo wakati wa mahubiri.
Watumishi wa Mungu wakiwa wanajipanga kufanya jambo fulani.
Hafla ilifana huku washiriki wakilishwa KEKI na kiongozi wa Shule ya Sabato Bi Grace Mgeni.
Ni wawakilishi wa WAGENI walioweza kuwawakilisha wenzao katika tukio la kukata KEKI.
Monday, 13 October 2014
SEMINA KWA WAJUMBE WA BARAZA LA KANISA TOKA MSTV NA MCHANGANUO WA HITAJI LA MILION 225.
MR.MATHIAS MAVANZA MHAZINI WA TANZANIA ADVENTIST MEDIA CENTER SIKU YA SABATO YA TAREHE 11 OCTOBA,2014 KANISANI MWENGE SDA AMEELEZA HATUA NA MCHAKATO WA UFANIKISHAJI WA KURUSHWA KWA MATANGAZO YA MSTV NA AKITO MSISITO KWA WAJUMBE KUCHUKUA KADI MAALUM ZA KUCHANGIA KWA MPANGO AMBAPO MDAU HUYU ATAPA TAARIFA NA HABARI TOKA MSTV NA ATAKUWA AMESAIDIA UINJILISTI KUFIKIA WATU WENGI KWA NJIA YA RUNINGA HII.
Tangu kuanza kwa mradi mzima wa runinga ya Morning Star Televisheni ambayo ilikuwa ametengewa kiasi cha milioni 500 gharama ambayo ingejumuisha yafuatayo;
Matengenezo ya Studio ya televisheni
Ununuzi wa vifaa na mitambo.
Malipo ya lesseni ya kurushia matangazo kutoka kwa mamlaka ya serikali.
Uendeshaji wa televisheni kwa miezi 6,hii ni pamoja na kulipia gharama ya kurusha matangazo kupitia kwa wenye ving'amuzi.
Kununua vifaa vinavyohitajika kwa ajili ya kurekodi vipindi na kurusha matangazo hewani ambavyo ni vya kisasa tena vinavyokwenda na wakati.
Kutengeza studio ya kisasa ambayo itatumika kwa ajili ya kutayarishia vipindi mbalimbali.
Baada ya kupata vifaa na kupata studio,matangazo ni lazima yarushwe hewani,na yafuatayo ni mahitaji kwa ajili ya kurushwa matangazo kwa miezi mingine 6.
MR.MATHIAS MAVANZA MHAZINI WA TANZANIA ADVENTIST MEDIA CENTER SIKU YA SABATO YA TAREHE 11 OCTOBA,2014 KANISANI MWENGE SDA AMEELEZA HATUA NA MCHAKATO WA UFANIKISHAJI WA KURUSHWA KWA MATANGAZO YA MSTV NA AKITO MSISITO KWA WAJUMBE KUCHUKUA KADI MAALUM ZA KUCHANGIA KWA MPANGO AMBAPO MDAU HUYU ATAPA TAARIFA NA HABARI TOKA MSTV NA ATAKUWA AMESAIDIA UINJILISTI KUFIKIA WATU WENGI KWA NJIA YA RUNINGA HII.
Tangu kuanza kwa mradi mzima wa runinga ya Morning Star Televisheni ambayo ilikuwa ametengewa kiasi cha milioni 500 gharama ambayo ingejumuisha yafuatayo;
Matengenezo ya Studio ya televisheni
Ununuzi wa vifaa na mitambo.
Malipo ya lesseni ya kurushia matangazo kutoka kwa mamlaka ya serikali.
Uendeshaji wa televisheni kwa miezi 6,hii ni pamoja na kulipia gharama ya kurusha matangazo kupitia kwa wenye ving'amuzi.
Kununua vifaa vinavyohitajika kwa ajili ya kurekodi vipindi na kurusha matangazo hewani ambavyo ni vya kisasa tena vinavyokwenda na wakati.
Kutengeza studio ya kisasa ambayo itatumika kwa ajili ya kutayarishia vipindi mbalimbali.
Baada ya kupata vifaa na kupata studio,matangazo ni lazima yarushwe hewani,na yafuatayo ni mahitaji kwa ajili ya kurushwa matangazo kwa miezi mingine 6.
| Btl(urushwaji wa matangazo | |
| AGAPE FEES(urushaji wa matangazo) | |
| TCRA FEES(malipo kwa serikali) | |
| Agape deposit(kama dhamana ya mkataba) | |
| (vifaa vya matangazo) | |
| (gari kwa ajili ya uzalishaji). | |
Saturday, 30 August 2014
MAKAMBI YA MTAA WA MBEZI YALIVYOFANA NA ROHO ZA WATU 42 ZIKIMKIRI YESU KUWA BWANA WA MAISHA YAO YOTE KWA NJIA YA UBATIZO:30/8/2014
Wakati Ibada kuu ikiendelea.
Mchungaji Mganga akifanya Huduma ya Ubatizo.
Watoto nao hawakuwa mbali katika Kubarikiwa na Neno la Mungu.
Kwaya ya Waadventista wasabato Mbezi Luis Uinjilisti
Kwaya ya Waadventista wasabato Malamba mawili
Kwaya ya UFUFUO Mbezi Luis{Vijana}
Mchungaji Mganga akifanya Huduma ya Ubatizo.
Watoto nao hawakuwa mbali katika Kubarikiwa na Neno la Mungu.
Kwaya ya Waadventista wasabato Mbezi Luis Uinjilisti
Kwaya ya Waadventista wasabato Malamba mawili
Tuesday, 26 August 2014
Subscribe to:
Posts (Atom)

























